Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii amemteua Bw. Ibarahim Mussa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utalii kuanzia tarehe 01 February 2011.
Uteuzi huo ameufanya kwa mujibu wa kifungu cha 6 (1) (b) cha Sheria ya
Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002.
Ibrahim A. Mussa (53) ni mtumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii tangu
mwaka 1982 hadi sasa ambapo alifanya kazi katika ngazi mbalimbali, katika
Idara ya Misitu na Idara ya Utalii.
Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Utalii, Ibrahim A. Mussa alikuwa
Mkurugenzi Msaidizi anaesimamia Utafiti, Takwimu na Mafunzo katika Idara
ya Utalii.
Bw. Mussa ana Shahada ya Uzamili (International Tourism Management)
aliyoipata mwaka 2005 kutoka chuo cha Sheffield nchini Uingereza
Bw. Mussa anachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Idara ya Utalii kutoka kwa Bi.
Maria Mmari ambaye amepangiwa kazi nyingine.
Uteuzi huo ameufanya kwa mujibu wa kifungu cha 6 (1) (b) cha Sheria ya
Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002.
Ibrahim A. Mussa (53) ni mtumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii tangu
mwaka 1982 hadi sasa ambapo alifanya kazi katika ngazi mbalimbali, katika
Idara ya Misitu na Idara ya Utalii.
Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Utalii, Ibrahim A. Mussa alikuwa
Mkurugenzi Msaidizi anaesimamia Utafiti, Takwimu na Mafunzo katika Idara
ya Utalii.
Bw. Mussa ana Shahada ya Uzamili (International Tourism Management)
aliyoipata mwaka 2005 kutoka chuo cha Sheffield nchini Uingereza
Bw. Mussa anachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Idara ya Utalii kutoka kwa Bi.
Maria Mmari ambaye amepangiwa kazi nyingine.
TULIZO HENRY KILAGA
INFORMATION OFFICER
MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM
MPINGO HOUSE - NYERERE ROAD
P.O BOX 9372
DSM-TANZANIA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...