Mbunimu wa Mitindo,Khadija Mwanamboka (kulia) akimkabidhi zawadi ya ua Mwanamitindo,Jamila Swai ambaye ni mmoja kati ya waliofanikisha shughuli TMH Style Motomoto usiku huu katika hoteli ya Double Tree Hilton,Masaki jijini Dar.
Sehemu ya Mamodo waliofanikisha shughuli hiyo ya Tanzania Mitindo House Style Motomoto wakipita jukwaani kuonyesha mavazi.

kwa picha zaidi za shughuli hiyo
BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyu Dada aliyopiga Nyeusi MMH hatari nitarudi mie >..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...