Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Mbeya Mjini,Bi. Shizza Mwakatundu akiwahutubia wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka katika kata 36 za wilaya hiyo waliohudhuria hafla ya kuadhimishwa kwa miaka 34 ya kuzaliwa kwa CCM,yaliyofanyika mchana wa leo katika kata ya Ilemi,tawi la Mapelele mkoani Mbeya.
Baadhi wa wakina mama wa UWT wilaya ya Mbeya Mjini wakiburudika na muziki katika hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbona kuna tofauti kubwa sana kati Mwenyekiti na wajumbe?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...