Mwakilishi Mkazi na Kiongozi wa waumini wa dini ya kiislamu wa madhehebu ya Bohora, Shaikh Tayabali Patanwalla akikata keki yenye uzito wa tani moja kuashiria kutimiza miaka 100 ya kiongozi huyo, H.H. Dk. Syedna Mohammed Burhanuddin Saheb (TUS), wakati wa sherehe zilizofanyika kwenye Uwanja wa Annadil Burhani Dar es Salaam leo.
Home
Unlabelled
Waislam wa madhehebu ya bohora washerehekea miaka 100 ya kuzaliwa kwa kiongozi wao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Keki ina uzito wa tani moja?!! Kubwa kiasi gani?
ReplyDelete