In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.









  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com








semina ya mbinu za uandishi wa vitabu

MaishaMema Education & Training Centre ni kituo cha Elimu, Mafunzo, Utafiti na Ukuzaji Maarifa...Kituo kinatangaza semina ya siku moja kuhusu MBINU ZA UANDISHI BORA WA VITABU... Semina imelenga katika kuwajengea washiriki uwezo wa kufanya kazi na kituo katika mradi wa SEXUALITY EDUCATION AND AWARENESS PROJECT CAMPAIGN ( SEA Project ), mradi unao ratibiwa na kusimamiwa na kituo na ambao umelenga katika kutoa elimu ya ujinsia, afya, uzazi wa mpango, haki,wajibu na kujitambua kwa wanawake kwa njia ya vitabu.

SIFA ZA WASHIRIKI
Awe mwanamke mwenye sifa zifuatazo:
1. Umri miaka 18 hadi 40.
2.Elimu kidato cha nne, sita na kuendelea.
3.Mchapakazi na anayejituma na awe mwenye 
wito wa kweli wa kazi ya uandishi vitabu.

LINI: Jumamosi, tarehe 04/06/2011

MUDA : Saa nne kamili asubuhi.

WAPI: PERFECT VISION SECONDARY SCHOOL.

IDADI YA WASHIRIKI WANAO HITAJIKA: Thelathini na Tisa Tu. ( 39 )

FAIDA ZA KUSHIRIKI KATIKA SEMINA HII: Washiriki wote thelathini na tisa watapata nafasi ya kuungana na wenzao kumi na moja ambao tayari wameshapatiwa mafunzo katika kufanya kazi ya uandishi wa vitabu katika mradi huu, ambao unaanza rasmi tarehe 01 June 2011 kwa washiriki kumi na moja ambao tayari walishapatiwa mafunzo

Fomu za kujiandikisha katika semina hii zinapatikana  katika ofisi zetu zilizopo katika shule ya sekondari PERFECT VISION iliyopo nyuma ya jengo la UBUNGO PLAZA...

Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 03/06/2011.... ..

WAHI FOMU YAKO MAPEMA, KWANI IDADI YA WATU WANAO HITAJIKA IKIKAMILIKA, TUTASITISHA KUTOA FOMU.

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA: 
0652458398 AU 0788363058..


Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker