In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.








  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com










wadau julius nalitolela na Bernedetha Alex wameremeta

Hayawi hayawi yamekuwa wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta katika kanisa la Anglikana la Mtakatifu Albano jijini Dar ni wadau  Julius Nalitolela na  Bernedetha Alex wakiwa katika pozi la picha.

 Bwana harusi  na bibi harusi  Julius Nalitolela na Bernedetha Alex wakigongesheana gra shampeni katika mnuso wa harusi yao hiyo
 Bwana harusi Julius Nalitolela akisaidiwa na babu yake Patrick kupita juu ya migongo ya  wazazi wake wakati alipokuwa akiingia ukumbini Royal Skyline  ikiwa ni sehemu ya kudumisha mira ya Wayao wa Nandenga Masasi Mtwara ,baada ya kufunga ndoa katika kanisa la St,Albano jijini Dar es Salaam.
Bibi harusi Benedetha Alex ambaye kabila lake ni msukuma akielekezwa mila na desturi za wayao na babu wa mme wake Julius Nalitolela mzee Patrick wakati alipokuwa akiingia ukumbini kwa kupita juu ya migongo ya akina mama wa Kabila la Wayao wa Masasi Mtwara. katika harusi iiliyofungwa katika kanisa la St.Albano na kufuatiwa sherehe kubwa illiyofanyika ukumbi wa Royal Sklin jijini Dar es Salaam.


Kuna Maoni 6 mpaka sasa.

  1. Anonymous Anasema:

    Eeh jamaa eeh kweli kuna mila na mila:-) Sasa yote haya ya nini toba:-)? Ukija ukitengua mguu au uka-slip juu ya mgongo wa mtu? Sielewi!

  2. Anonymous Anasema:

    hizi ni mila za kweli? poleni sana hao mlio pitiwa migongoni. hawa watu kama walikua wanafuata sana mila wange wavalisha maharusi kaniki au majani. bibi harusi be careful kwasababu this is just the beginning. mila za hao watu ni nyingi sana.

  3. Anonymous Anasema:

    sasa mbona bibi harusi yeye hakuvua viatu siakuwa anawaumiza wenzie na viatu ukizingatia viatu vinavisigino mila zingine ni hatari kuliko malaria

  4. Anonymous Anasema:

    nw this is jst painful...the significance of this is very vague..anyway..hongereni mwaya!

  5. Anonymous Anasema:

    Shemeji Peter Nalitolela wa Mologolo ze Mzumbez yuko wapiiii?

  6. Anonymous Anasema:

    Kaaazi kweli kweli ! duh !!! nimeweka mkono shavuni !!!

Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker