Warembo wa Redd’s Miss Temeke na Kinondoni wakichuana katika Bonanza la michezo kati ya wanahabari wanawake na warembo wa kanda za Dar es Salaam lililofanyika ufukwe wa Mbalamwezi Beach jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na TBL. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.
Mchuano ukiendelea
Baadhi wa wanahabari wanawake katika bonanza hilo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...