kikundi cha SOUNDS OF TARAAB kikitumbuiza jijini New York

Viongozi wa jumuiya ya Watanzania New York, Marekani, wakiwa meza kuu na mgeni rasimu ambae ni balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa, Mh. Ombeni Sefua (wa pili shoto). Kulia  ni Mjumbe wa Jumuiya Bwana Chiume, wa pili ni Mwenyeketi wa Jumuiya  Bwana Hajji Hamis na kushoto ni  afisa wa ubalozi  New York Bwana Mero wakiwa katika burudani hiyo murua kabisa
 Mwimbaji wa Sounds of Taarab akirusha roho mashabiki kwa mipasho
 Belly dancer wa Sounds of Taarab akionesha umahiri wake wa mambo ya kimwambao
 Kama kawa mduara ulipigwa na kupagaisha
 Mweka hazina na mratibu wa mpango mzima wa jambo hili kutokea Mzee Temba akiwa na baadhi ya wadau waliohudhuria shoo hii. Picha na Ny Ebra wa Globu ya Jamii, New York City

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 31, 2011

    Mambo yalikuwa murua sana. Jumuia ya Newyork Oyeeeeee! Oyeee! Kazi safi sana!

    ReplyDelete
  2. haya haya wee kuleni pesa za wanachama

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...