Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk Ali Mohamed Shein, akisoma risala ya kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan na kuwatakia wananchi kheri kati mfungo huo kwasalama,pia kuwataka wajitahidi katika kufanya ibada kwa wingi,kuzidisha imani katika jamii.Picha na Ramadhan Othman Ikulu - Zanzibar.
Home
Unlabelled
salaam za mfungo mtukufu wa ramadhani toka kwa rais wa zanzibar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
barka imeingia mwaka wa ngapi huu tunafnga waislam wote duniani pamoja? Ijapokua kufungua wataleta zao tu huko visiwani
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/user/CloningIsFun#p/u/3/-WxT79R-p98
ReplyDelete