Rais wa muungano wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania (UTPC) Kenneth Simbaya akifungua mkutano mkuu wa uchaguzi ndani ya klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Simbaya ndiye alikuwa mwenyekiti wa IPC kabla ya kuamua kustaafu nafasi hiyo ,kushoto ni katibu mtendaji wa IPC Frank Leonard na kulia ni weka hazina wa IPC Sulemani Boki
Baadhi ya wanachama wa IPC wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waliochaguliwa kuongoza IPC.Picha na Francis Godwin. Kwa habari zaidi pamoja na mapicha kibao BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...