SHEIKH Mselemu Ali akitowa mhadhara kwa Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Vikokotoni kwa ajili ya kutoa mafunzo ya Mfungo wa Ramadhani, unaotarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa Nane. WANAFUNZI wa Skuli ya Vikokotoni wakimsikiliza . Mselem Ali akitowa mawaidha ya dini ya Kiislam kwa Wanafunzi hao ikiwa ni moja ya Maandalizi ya kuukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kutowa mafunzo ya dini, mdahalo huo umeandaliwa na Uongozi wa skuli hiyo uliofanyika katika viwanja vyao.
Home
Unlabelled
WANAFUNZI WA SKULI YA SEKONDARI YA VIKOKOTONI, Zenji, WAKIUKARIBISHA MWEZI WA RAMADHANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...