SHEIKH Mselemu Ali akitowa  mhadhara  kwa Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Vikokotoni  kwa ajili ya kutoa mafunzo ya Mfungo wa Ramadhani, unaotarajiwa kuanza mwanzoni mwa mwezi wa Nane. 
 WANAFUNZI wa Skuli ya Vikokotoni wakimsikiliza . Mselem Ali akitowa  mawaidha  ya dini ya Kiislam kwa Wanafunzi hao ikiwa ni moja ya Maandalizi ya kuukaribisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kutowa mafunzo ya dini, mdahalo huo umeandaliwa na Uongozi wa skuli hiyo uliofanyika katika viwanja vyao. 
                                         

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...