Mwanadada Wema Sepetu akimpa tafu mpenzi wake  mwanamuziki Diamond kwa kuimba naye jukwaani, wakati alipokuwa akiimba katika tamasha la Fiesta   kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro usiku wa kuamkia leo, ambapo mwanadada huyo ametisha na kushangiliwa sana na umati wa mashabiki waliokuwepo katika tamasha hilo lililohudhuriwa na mashabiki lukuki wa muziki wa Bongofleva, kama unavyomuona Diamond katika picha kama vile kasusa lakini wapi anamcheki mtoto wakati alipokuwa akiimba.
Hapa Diamond akimwimbia mpezi wake Wema Sepetu huku akiwa amepiga magoti katika kuonyesha heshima kubwa kwake kutokana na sapoti anayompa katika kazi zake. Picha na Michuzi Jr

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2011

    WEMA SEPETU SAAAAFI SAAAAAANA , ULICHO KIFANYA KWA MPENZI WAKO HAPA BRUSSELS-BELGIUM KINAHESHIMIKA SAAANA. SAAAFI SAAAANA WEMA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 04, 2011

    hongera wema. tulia sasa acha mapepe

    ReplyDelete
  3. Hii inafaa iwe habari mvunjo "breaking news" kwamba Wema binti Abraham amehamia mbagala kwenye nyumba nyuma mbele jalala....HATS OFF Wema!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 04, 2011

    hivi ukimpa mtu hongera unakuwa una ona jambo jema alilofanya .... hapa hongera ni ya nini hasa? Shame on u ... kisa cha kutembea uchi
    http://www.jamiiforums.com/jamii-photos/151771-wema-ndani-ya-fiesta-moro.html

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 04, 2011

    Natamani mfunge ndoa kabisa tena mheshimiaje kama Jay Dee na Gadner kila la kheri

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 04, 2011

    Hata mi nashangaa hongera za nini, mwanaume kavaa poa kiheshima, mwanamke kajiachia ila wanasema ukiona mwanamke yuko uchi ujue alisha uonyesha uchi wake kwa more than 5 men,(watafiti walisema)maana huwezikuwa umeanza tu kuchumbiwa ukajiachia. Mmmhhhhhhhhhhh wanaume mnaooa sasa mnakazi kwani siku hizi wadada hawawawekei waume zao wanatoa kama nyanya sokoni au vitunguu hata akitaniwa tu na mwanaume kidogo huyo anaingia ndo maana ndoa hazina thamani tena. Pole Diamond i think pray before you do anything, marriage is not lelemama thou.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 05, 2011

    wewe unayesema wema yuko uchi una matatizo gani. this is show biz. ulitaka avae buibui au vipi. wewe ni taliban au vipi. hata kama watu bilioni kumi walikwisha kumuona uchi so what.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 05, 2011

    Chamsingi wametoka poa, na hakuna kitu kizuri katika maisha kama kupata support toka kwa mtu wako wa karibu. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Wengine wivu tu hawana lolote. Big up wema, keep it up, hayo ndiyo maisha.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 05, 2011

    big up wema nimeipenda hii. na nyie mnaosema eti diamond pray kabla hujaamua, hata kama Sepetu alianguka wakati flan alikuwa anajifanya mwenyewe? mbona mwapenda kuwaonea wanawake nyie?? mie naamini bado kuna wanawake decent sio kama dunia ni chafu kiasi hicho. Na hata sie wanawake tunapata shida kuamua nani atuoe mana wanaume nao wamekuwa wachafu sana. Unakutana na mwanaume hamjajuana hata mwezi anaomba, unamkatalia anaomba, unamnunia anaomba, unamwambia nakupa three months ya kupima walau kwa kadirio la chini, anaomba. yani hadi wajiuliza what type of world is this. msisingizie wanawake, wanaume zipu wameacha wazi all the time.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 05, 2011

    dunia ipo taabani wanadamu wamekengeuka.sidhan this will last longer,wema unahitaji changes in ya life.

    ReplyDelete
  11. We Misupu mbona umeibania ile picha nyingine aliyoiweka DOGO wako kule kwake?

    Nayo ilete hapa bana! Halafu umeshamwambia nae aitoe

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 06, 2011

    si wanampamba huyo wao

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 06, 2011

    acheni ujinnga big up sepetua maaana umessepetua mbayaaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...