Mimi ni Mtanzania halisi niliyezaliwa miaka 38 iliyopita jijini Arusha maeneo ya Sanawari. Niliamia hapa miaka 5 iliyopita baada ya kuonana na mme wangu kupitia njia kama hii (Cyber-love). Nina mtoto 1 na ninaishi maisha mazuri tu inagawa ni ya kawaida. Hivyo nimeona ni vyema nikatoa nafasi kama hii kwa watanzania wengine ambao wangependa vilevile kuonana na marafiki wengine popote duniani kupitia blog hii ya WabongoMeet.
Wabongomeet ni blog ya Kitanzania inayotoa mwanya kwa Watanzania mahali popote kujitafuta marafiki na hata wachumba ulimwenguni kote. Mnakaribishwa bila UBAGUZI wowote. AKINA DADA MNAKARIBISHWA NAWAPA MOYO ZAIDI KUTEMBELEA HAPA........
Kwa wale wote ambao watapenda kuweka picha pamoja na info zao, tafadhali tuma kwa kupitia email wabongomeetinfo@gmail.com
Nakaribisha maswali pamoja na maoni yenu.
Jitafutie rafiki na mchumba hapa Wabongomeet....
Da hii blog uongo mbaya imesheheni tenda
ReplyDeleteASANTE SANA MDAU MIMI NI MSICHANA WA KITANZANIA MWENYE UMRI WA MIAKA 39.NINAISHI LONDON TANGU MWAKA 1995.SIKUPATA BAHATI YA KUMPATA MTANZANIA WAKWELI HADI LEO.NINGEPENDA KUTUMIA NJIA HII KUMPATA MTANZANIA WA KWELI .MDAU UK.
ReplyDeletei dont trust part of you story, it makes the whole story wrong!
ReplyDeletehii imekaaje?
ReplyDelete- - -
buffalo,
new york
Facebook is easier..
ReplyDeleteduu katika libeneke la huyu shangazi wanaotafuta/wanaosaka wenzao ni jinsia moja(wanawake)tu hmmmmmmmmmm
ReplyDeleteEmail address zote zilizowekwa humo ni fake tupu na wala hakuna anayerespond.Nadhani mwenye blog hajui hilo amewatundika watu ambao wanacheza maigizo ya kuwtuma profile fake kabisaaaaaaaaaaa ili kujifurahisha tu.
ReplyDelete