Vodacom Miss Tanzania,Salha Israel (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mshindi wa Pili,Tracy Sospeter (kulia) na mshindi wa tatu,Alexia William mara baada ya kutangazwa usiku huu kwenye ukumbi wa Mlimani City,Jijini Dar.
Vodacom Miss Tanzania aliemaliza muda wake,Genavive Mpangala akimvisha taji la ushindi wa Vodacom Miss Tanzania,Salha Israel mara baada ya kutangazwa hivi punde.
Jamani jina lake ni Salha sio Sarha. Umechanganya "R" na "L" jamaaaaaani.............
ReplyDeleteHongera sana kamati ya vodacom miss tz 2011 kwa kazi nzuri.
ReplyDeleteKwa kweli safari hii hakuna uchakachuaji. Mimi binafsi yangu nilimtabiria na kumuona kuwa ndiye atakayeshinda tangu walipokuwa katika jumba wakijiandaa.
ReplyDeletemdau Kinshasa
thts too bad kukosea jina la watu tena miss
ReplyDeleteni aibu
Hongera sana salha kwa ushindi
ReplyDeletehehe israel au labda ni palestina majina mengine bwana kaazi kweli kweli
ReplyDeleteHongera sana waandaaji wa miss tanzania.MWAKA HUU HAKUNA UPENDELEO.
ReplyDeleteHaya kazi ni kwake ndani Jeeeeeep!!!
ReplyDeleteJamani, mimi sioni wapi jina limekosewa. Tena kaliandika muafaq kabisa. kama huna comment nyamaza, tulia.
ReplyDeletekazi nzuri vodacom
ReplyDeletekaka michuzi plz plz ondowa picha zawashenzi wasiyokuwa na nizam kuna watazania nje ya nchi wakionesha huzuni na masikitiko kwa msiba wao wamo ndani ya nchi wakionesha hawana hisiya wakielekeza umalaya mbele TIZAMA MH KIKWETE ALIVYOKUWA NA MAJONZI NA HUZUNI NI MSIBA MKUBWA KWA TAIFA SHENZI VODACOM
ReplyDeletehii ni kazi nzuri kumbe tz bila rushwa tunaweza!hongera kamati ya miss vod 2011
ReplyDeletehongereni waandaaji, mwaka huu kweli miss wa ukweli
ReplyDeleteflora kutoka dodoma
JAMAN KAMISS KAZURI KWELI HONGERA VODACOM.Ila nawe salha sasa tulia maana mna kawaida mkishinda tunaanza kusikia skendo za ajabu.
ReplyDeletemim