Helikopta iliyokodishwa Chadema, ikipita juu ya Anga ya Igunga baada ya kuwasili jana alasili kwa ajili ya mikutano ya mwisho ya kampeni ya chama hicho.
Helikopta ya iliyokodishwa na CCM ikitua katika uwanja wa Sabasaba mjini Igunga jana kwa ajili ya kampeni za mwisho za chama hicho.
Helkopta ya itakayotumiwa na mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) ikiwasili katika uwanja wa Barafu uliopo Igunga Mjini kwa ajili ya kampeni za mgombea ubunge katika jimbo hilo jana.
Mwenyekiti wa Chama cha Chadema Freeman Mbowe akihutubia mkutano wa kampeni katika Kata ya Nkinga wa kuwania kiti cha Ubunge cha jimbo la Igunga baada ya kuwasili na Helkopta jana.
Picha na mdau Fidelis Felix

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...