baadhi ya akina mama wa manispaa ya songea wakichekecha mahindi ili kuondoa mchanga kwa ajili ya kupata mahindi safi yanayouzwa kwa wakala wa hifadhi ya taifa ya chakula kituo cha Songea kwa tsh 350 kwa kilo moja ambao wamelazimkia kuhamia katika uwanja wa michezo wa zimanimoto mjini hapa ili kurahisisha kazi ya ukusanyaji.
wanawake wanaojishughulisha na biashara ya mama lishe wakiwa na vyombo vyao katika uwanja wa zimanimoto ambako kazi ya ununuzi wa mahindi inafanyika kutokana na wakala wa hifadhi ya chakula ya taifa kituo cha songea kulazimika kuhamishia uwanjani hapo ili kurahisisha kazi hiyo.
Malori yenye mahindi yakiwa katika msururu mrefu yakisubiri kuingia ndani ya uwanja wa zimamoto kwa ajili ya kuuza kwa wakala wa hifadhi ya taifa yachakula mjini Songea kama yalivyokutwa na mpiga picha wetu jana. Picha na Muhidin Amri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...