Mwanahabari Adam Nindi, Esther Macha , Tumain Msowoya, Bland Nelsoni na Janeth Matondo wakiwa katika viwanja vya tamasha la TGNP linaloanza leo hadi tarehe 17 mwezi huu katika viwanja vya TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam
Mwanahabari nguli toka Iringa Bw Francis Godwin akiwa na mwandishi wa mtandao wake kutoka Mbeya Esther Macha, Bland Nelson na Janeth MatondoBaadhi ya washiriki wa warsha kutoka mikoani wakiwa katika viwanja vya mafunzo. Picha na Francis Godwin
Mwanahabari nguli toka Iringa Bw Francis Godwin akiwa na mwandishi wa mtandao wake kutoka Mbeya Esther Macha, Bland Nelson na Janeth MatondoBaadhi ya washiriki wa warsha kutoka mikoani wakiwa katika viwanja vya mafunzo. Picha na Francis Godwin
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...