Je unajua kuwa 1966 kulikuwa na bendi ya akina mama watupu hapa Tanzania? Angalia picha zao wakiwa kazini.
Mtembelee mkongwe John Kitime kwa habari kamili
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sisi wasomaji "wazee" tunaikumuka sana bendi hii. Hasa ule wimbo wao Happy X-mas ambao walikuwa wanatamka herufi za alfabeti A mpaka Z.
ReplyDeleteahsante mzee manake ile nyimbo naijua lakini sikujua nani aliimba.
ReplyDelete