Naibu Waziri wa Maji, Gerson (kushoto) akimkabidhi tuzo ya utendaji mzuri wa kazi aliyekuwa Waziri wa Maji wa kwanza ambaye pia ni mwanzilishi wa wizara hiyo, Dk. Pius Ngwa’ndu (kulia) leo wakati wa ufungaji wa Sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya wizara hiyo.
Naibu Waziri wa Maji, Gerson (kushoto) akibadilishana mawazo na aliyekuwa Waziri wa Maji wa kwanza , ambaye pia ni mwanzilishi wa wizara hiyo, Dk. Pius Ngwa’ndu (kulia) na kushoto ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mhandisi Christopher Sayi leo wakati wa ufungaji wa Sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya wizara hiyo.
Mwanafunzi wa Chuo cha Maendeleo na Usimamizi wa Maji kilichopo Ubungo jijini Dares Salaam, Adam Massam akiwaonesha baadhi ya wananchi teknolojia ya kuvuna maji ya mvua, ambayo hunaweza kutumia kumwagilia mazao na matumizi mengine leo wakati wa ufungaji wa maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya Wizara ya Maji.
Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kupunguza Madini ya Floraidi kilichopo Ngurudoto Arusha, Godfrey Mkongo (kulia) akitoa maelezo jinsi kupunguza floraidi katika maji kwa kutumia teknolojia rahisi ya mifupa ya ngo’mbe kwa baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo na Usimamizi wa Maji wakiwemo wananchi leo wakati wa ufungaji wa Sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru ya wizara hiyo.
picha ya pamoja.
baadhi ya wanachi na watumishi wa Wizara ya Maji wakifuatilia kwa makini maadhimidho ya miaka 50 ya wizara hiyo leo wakati ufungaji wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Chuo cha Maendeleo na Usimamizi wa Maji kilichopo Ubungo jijini Dares Salaam.
Chuo cha maendeleo na usimamizi wa maji ndiyo kilekile Chuo cha maji cha Lwegarulila.
ReplyDeleteMmm,what a kumbukumbu!Huyu bwana alikuwa muasisi wa wazo la kuanzisha hiki chuo na mchango wake wizara ya maji uliuwa beyond compare.
I wander what was the thought process here. Unajua hili jina la chuo litakuwa lefu sana, lets chop Lwegarulila off.