Mmiliki/ mkurugenzi wa African Lyon Fc Bw. Zamunda Kangezi akiongea na waandishi wa habari leo.Kushoto kwake ni katibu mkuu Brown Ernest kulia ni Mkurugenzi wa ufundi na biasgara wa Lyon Charles Otione. Walio simama kutoka kushoto ni Jarufu masega atakaye kwenda Marekani katika chuo cha Lousiana kusoma, Hamis Thabit (Anakwenda seattle sounders kufanya majaribio ya wiki mbili), Hood mayanja(Yupo njiani kwenda marekani mwishoni mwa mwaka huu pamoja na Razak Khalfani na Abdul Juma)
Home
Unlabelled
Zamunda kangezi aongea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...