In order to view this object you need Flash Player 9+ support!

Get Adobe Flash player
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT - BEYOND THE ORDINARY - NATURALLY' Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Nawasihi kila mmoja wetu ajiheshimu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya GLOBU YA JAMII, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoelezwa vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.










  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com
  • P. O. Box 33909, Dar es Salaam, Tanzania.  Tel: +255 22 26647870/1/3  Fax: +255 22 2647872. www.giraffeoceanviewhotel.com












Archive for March 2011

Citibank Tanzania introduce the new CEO for Citibank East Africa

The new CEO for Citibank East Africa Mr. Daniel Connelly (left) speaking at the function. On the right is the MD and CEO for Citibank Tanzania, Mr. Jamal Hussein
The MD and CEO for Citibank Tanzania, Mr. Jamal Hussein giving the opening remarks at the function.
From left to right, The MD and CEO for Citibank Tanzania, Mr. Jamal Hussein, CEO for Citibank East Africa Mr. Daniel Connelly, The MD for Kabanga Nickel Company, Mr. Kevin Olshefsky and the Head of Human Resources for Citibank Tanzania Ltd, Mr. Christopher Kazinja exchanging ideas during the function.

Citibank Tanzania on Wednesday 30th March 2011 organized a cocktail to introduce the new CEO for Citibank East Africa Mr. Daniel Connelly, who is replacing Mr. Ade Ayeyemi, who has moved to a new function covering the whole of Sub-Saharan Africa.

During the event which was attended by the business community, regulators and government officials, Citibank also presented a Global Economic update through Mr. David Cowan, Citi Senior Economist for Africa.

At the presentation, Mr. Cowan, gave his view on trends and outlook of Global Commodity prices, Inflation, Interest rates and currencies, and how they affect economies globally, Africa, East Africa and Tanzania.


mambo ya gado leo


BREKING NYUUUUZZZZZ: Dada mwingine wa kikombe aibuka mji kasoro bahari

Vikombe vikiwa vimejazwa dawa inayodaiwa kutibu magonjwa mbalimbali sugu inayotolewa na Dada Fatma Said Senga ( 41) mkazi wa Kata ya Kichangani, Manispaa ya Morogoro, ambapo watu zaidi ya 200 wamepata kikombe hicho ambapo gharama ni shilingi za kitanzania 200 tu.
Dada Fatma Said Senga akiwa na mjukuu wake Ashinuli Ally Pitchuo ( 4) ambaye ni mgawaji wa dawa yake kwa wagonjwa na kulia ni mmoja wa ndugu yake anayeishi nae nyumbani hapo
Dada Fatma Said Senga akiwaonesha viongozi waliomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichangani, Manispaa ya Morogoro kwa ajili ya kupata maelezo ya kina kuhusu tiba yake hiyo ( anaye mfuatia ) ni mwandishi wa habari aliyetembelea eneo
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Mwambungu ( kulia) akimpatia maelekezo ya Dada Fatma Said Senga anayewatibia ya watu wenye magonjwa mbalimbali yakiwemo sugu kikombe cha dawa aweze kusajili huduma hiyo na kupimwa dawa yake ili kulinda usalama wa afya ya watumiaji
Dada Fatma Said Senga ( 41) mkazi wa Kata ya Kichangani, Manispaa ya Morogoro, ( mwenye ushungi mwekundu ) akimwaonesha viongozi waliomtembelea nyumbani kwake eneo la Kichangani, Manispaa ya Morogoro kwa ajili ya kupata maelezo ya kina kuhusu tiba yake hiyo ( anaye mfuatia ) ni mwandishi wa habari aliyetembelea eneo hilo Machi 31, mwaka huu wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Said Mwambungu ( hayupo pichani), kazi hiyo ameianza machi 30, mwaka huu na kikombe ni 'bati' (sh. 200/-). Picha zote na John Nditi wa Globu ya Jamii, Morogoro .


SIKU YA UPANDAJI MITI KITAIFA KUADHIMISHWA NCHINI


Na Veronica Kazimoto – MAELEZO

Kesho ni siku ya kitaifa ya kupanda miti ambapo maadhimisho haya kwa mwaka huu yatafanyika katika ngazi za mikoa yote Tanzania.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa wizara ya Maliasili na Utalii Maimuna Tarishi. Maadhimisho ya mwaka huu ni ya kipekee kwa kuwa ni mwaka ambao umetangazwa na Umoja wa Mataifa kama Mwaka wa Kimataifa wa Misitu pia ni mwaka ambao Tanzania inaadhimisha miaka 50 ya uhuru.

”Tukumbuke pia kuwa huu ni mwaka wa kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Hivyo, tutaadhimisha siku hii kwa kutathmini tulikotoka, tulipo na tunapokwenda kuhusiana na hali ya misitu”, imefafanua taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, kila mtanzania anatakiwa atathmini athari anazopata kutokana na ufyekaji na uharibifu wa misitu ili aamue kwa dhati kuihifadhi misitu kwa ajili ya kuwanufaisha watu wa kizazi hiki na vizazi vijavyo.

Bi. Tarishi amesema, kila familia haina budi kuanzisha bustani ndogo yenye miche inayolingana na idadi ya wanafamilina ambayo ni rahisi kuitunza miche hiyo kwa kutumia maji yanayopatikana nyumbani.

Katibu Mkuu huyo anafafanua kuwa, njia nyingine ya kuongeza kiwango cha upandaji miti ni kupanda mbegu moja kwa moja ardhini kwa baadhi ya miti hasa katika mikoa iliyoko katika nyanda za juu hapa nchini kama Tanga na Iringa.

“Wakati mwingine siyo lazima miche yote inayopandwa itoke bustanini. Njia nyingine ya kustawisha miti ni kutumia miche inayojiotea yenyewe ardhini kama maotea. Miche hiyo inapandwa katika sehemu zilizokusudiwa ikiwa bado midogo. Njia hii inatumika hasa kwenye sehemu zenye mvua nyingi na udongo tifutifu,” amebainisha Bi. Tarishi.

Katika taarifa yake, Bi. Tarishi anasema, aina nyingine ya kustawisha misitu ni kutenga na kulinda eneo kutokana na uharibifu wa kimazingira ili mbegu ziote zenyewe (natural regeneration), njia hii imefanikisha shughuli za kustawisha misitu na malisho ya mifugo mkoani Shinyanga.

“Wananchi wa Shinyanga wanatumia utaalam wao wa jadi unaojulikana kwa jina la Ngitili wa kutenga maeneo na kuyapumzisha ili mbegu zijiotee zenyewe, matokeo yake mkoa huu umeongeza zaidi ya hekta 500,000 za ardhi ambayo ilikuwa imeharibika kabisa hapo awali,” Bi. Tarishi anasema.

Bi. Tarishi amewapongeza wananchi wanaostawisha miche ya miti bila kutegemea ile inayostawishwa katika bustani za serikali, kwa sasa asilimia 70 ya miche ya miti yote inayopandwa inatokana na juhudi za wananchi wenyewe.

Maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Kupanda Miti yalifanyika kwa mara ya kwanza tarehe Mosi Januari mwaka 2001 kutokana na Waraka wa Waziri Mkuu Namba 1 wa mwaka 2000 uliomtaka kila mwananchi kupanda miti kwa manufaa yake ambapo mwaka jana Siku ya Taifa ya Kupanda Miti iliadhimishwa kitaifa Aprili Mosi mkoani Shinyanga.


TANGAZO LA MKUTANO WA WATANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI

Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini unawatangazia Watanzania waishio katika Jimbo la Gauteng kuwa kutakuwa na mkutano utakaofanyika tarehe 2 Mei, 2011 katika ukumbi wa Manicipali ( Municipal) iliyoko Kempton Park, Makutano ya Barabara za Pretoria na S.R Swart Johannesburg, Afrika ya Kusini kuanzia saa nane mchana(1400hrs) hadi saa 12 za jioni (1800hrs). Dondoo za mkutano zitakuwa kama zifuatavyo:

Kuzungumzia hali ya maendeleo ya Jumuiya ya Watanzania katika Jimbo la Gauteng
Kutakuwa na uchaguzi wa nafasi mbali mbali za uongozi
Kuandaa mikakati ya namna ya kusaidiana ndani ya chama hicho

Katika mkutano huo Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Mheshimiwa Radhia Mtengeti Msuya atakuwa mgeni rasmi. Aidha, Jumuiya ya Watanzania Gauteng inawajulisha kuwa kwa wale ambao hawajalipa michango ya uwanachama yaani Ada R300 kwa mwaka na kiingilio cha uwanachama R200 wanatakiwa kulipa kupitia accounti ya Jumuiya Ned Bank 1916139183/Branchi ni Kilarney code numba 19160535. Lakini pia siku hiyo tutapokea michango hiyo pale pale wale ambao watakuja na michango hiyo.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na wafuatao:

J.R Fhika jfhika@hotmail.com Simu +27762949049 begin_of_the_skype_highlighting +27762949049 end_of_the_skype_highlighting begin_of_the_skype_highlighting +27762949049 end_of_the_skype_highlighting
D.K Robert Ngude Robert.ngude@gauteng.gov.za +27823566963 begin_of_the_skype_highlighting +27823566963 end_of_the_skype_highlighting begin_of_the_skype_highlighting +27823566963 end_of_the_skype_highlighting
Mrs Josephine Mshilla jmshilla@hotmail.com +27721999833 begin_of_the_skype_highlighting +27721999833 end_of_the_skype_highlighting begin_of_the_skype_highlighting +27721999833 end_of_the_skype_highlighting
Lumbi & Ethel Simu ya mezani ya Ubalozini 012 342 4371/2


Makamu wa Rais asaini kitabu cha Kumbukumbu Ubalozi wa Japan

akamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Japan Nchini Tanzania Mhe. Hiroshi Nakagawa wakati alipokwenda kwenye Ofisi za Ubalozi wa Japan Upanga jijini Dar es salaam leo, kwa ajili ya kusaini kitabu cha kumbukumbu kufuatia maafa makubwa yaliyotokea Nchini Japan hivi karibuni yaliyosababishwa na Sunami.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha kumbukumbu kufuatia maafa makubwa yaliyotokana na Sunami Nchini Japan hivi karibuni, wakati alipokwenda katika Ofisi za Ubalozi huo Upanga jijini Dar es salaam leo.


Inaguration of the A-WASH project - Same, Kilimanjaro

A pupil of Kiwanja Primary School in Same, Kilimanjaro region demonstrates proper hand washing techniques to U.S Ambassador to Tanzania Alfonso E. Lenhardt (third from left), Acting Kilimanjaro Regional Commissioner Major General (ret) Said Kalembo ,and Acting Same District Commissioner Alhaj. Musa Samizi (left) during the inauguration of the "Ambassador's Water, Sanitation and Hygiene in Schools Initiative" (A-WASH) project at the school on March 30, 2011. The A-WASH project is part of a world-wide initiative supported by the American people through the partnership between U.S. embassies and the Millennium Water Alliance (MWA), Water and Sanitation Rotarian Action Group (WASRAG), Global Water Challenge (GWC), and local NGOs. The initiative's objective is to provide schools with access to clean water and sanitation and hygiene education programs. (Photo: Courtesy of the American Embassy)


TBL yatoa msaada kwa UMIVITA

Meneja Mahusiano wa TBL,Edith Mushi (pili kushoto) akipeana mkono na Afisa Uhusiano wa UMIVITA,Tungi Mwanjala (tatu kulia) wakati wakati wa kukabidhi msaada wa Shilingi 2.5 Mil, kwa ajili ya ukarabati wa jengo la ofisi ya Chama cha Umoja wa Miradi ya Viziwi Tanzania (UMIVITA) iliyopo ndani ya Shule ya Viziwi Buguruni leo.wengine pichani ni Mkurugenzi wa Chama cha Kuhudumia Viziwi Tanzania,Matirda Ngonyani (kulia),Katibu Mtendaji,Rahim Othman pamoja na Judith Robert kutoka chama cha kusaidia Viziwi la TANZANEAR.


maafisa wa kijeshi watembelea EPZA leo

Meneja uwezeshaji EPZA Mr. Lamau Mpolo akitoa mada kuhusu EPZA na utendaji wake kwa maafisa na wanafunzi wa chuo hicho.
Mkurugenzi wa fedha na utawala (EPZA) Desidery Kalimwenjuma (mbele) akiwatembeza maafisa hao katika eneo la EPZA, Benjamin William Mkapa-Special Economic Zone(SEZ).
Mkurugenzi wa fedha na utawala (EPZA) Desidery Kalimwenjuma (kulia) akiwa na maafisa na wanafunzi wa chuo cha kijeshi Arusha - Tanzania Military Academy katika semina iliyofanyika makao makuu ya Export Processing Authority EPZA.
Picha ya pamoja baada ya semina hiyo wakiongozwa na EE Kyunga commandant.


JK akutana na Waziri Mkuu wa Zimbabwe leo

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Zimbabwe Mh. Morgan Tsvangirai aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo


askari polisi shupavu wazawadiwa kagera

Kaimu mkuu wa mkoa wa Kagera Samuel Kamote akimpatia zawadi ya shilingi laki mbili Mkuu wa upelelezi mkoani Kagera Peter Matagi kutokana na kazi nzuri aliyoifanya ya kufanikisha kukamata silaha 8 za kivita.
Askari ambalo jeshi la polisi mkoani Kagera limewazadia vyeti vya utumishi uliotukuka na pesa tasilimu shilingi 200,000 kila mmoja baada ya kufanikiwa kizinasa silaha nane za kivita ambazo ni AKA 47 na SMG,kutoka kushoto ni Dc Masalla, mkaguzi msaidizi Haji, Dc Amos na mkuu wa wa upelelezi wa mkoa wa Kagera Peter Matagi. Picha na habari na mdau Audax Mutiganzi wa Globu ya Jamii, Bukoba.

KAIMU mkuu wa mkoa wa Kagera Samuel Kamote amelitaka jeshi la polisi lisibweteke na sifa za mafanikio liliyoyapata ya kupambana uharifu badala yake liendelee kufanya kazi kwa bidii ili liweze kuukomeshe uharifu kabisa mkoani Kagera.

Kamote alitoa kauli jana katika hotuba yake wakati wa hafla fupi ya kuwazadia maofisa wa jeshi la polisi vyeti vya utumishi uliotukuka na fedha taslimu ambao walifanikiwa kunasa silaha 8 za kivita zilizokuwa zinatumiwa na majambazi kuteka magari kwenye mapori mkoani Kagera iliyofanyika kwenye makao makuu ya kikosi cha kutuliza ghasia mkoani Kagera.

Kaimu mkuu huyo wa mkoa alisema jeshi hilo mkoani Kagera kwa sasa lilivyo linao uwezo mkubwa wa kukabiliana na janga lolote linalojitokeza mbele yake linalohusiana na matukio ya uharifu yanayojitokeza ndani ya jamii kwa kuwa limejipanga vizuri.

Alisema serikali mkoani Kagera itaendelea kulipa ushirikiano wa karibu ili liweze kufanikisha mikakati yake, Kamote alisema askari wa jeshi hilo hawapaswi kulala kwa kuwa waharifu huwa kila siku wanabadili mbinu za kutekeleza uharifu.

Alilitaka jeshi hilo liendelee na misako yake na doria zake ambazo linazifanya kwenye maeneo mbalimbali mkoani Kagera hasa kwenye mapori ya ambako utekaji wa magari huwa unafanyika.

Alilipongeza jeshi hilo kwa kazi linayoifanya ya kupambana na uharifu, alilitaka jeshi hilo liendelee kuwa karibu zaidi na wananchi ili liweze kukabiliana kwa urahisi na vitendo vinavyopangwa kutekelezwa na waharifu ndani ya jamii.

Alilitaka pia jeshi la polisi liimarishe pia mfuko wa kuwazadia wananchi wanaotoa taarifa zinazohusiana na masuala ya uharifu kwa jeshi hilo pia askari wanaoshirikia katika matukio ya kupambana na uharifu, kaimu mkuu huyo aliuchangia mfuko huo shilingi 500,000.

Kwa upande wake Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Kagera Henry Salewi alisema jeshi hilo limewazadia askari ambalo wlishiriki kwenye operation ya kukamata silaha nane zilizokamatwa kwa nyakati tofauti katika maeneo ya Chato na Kahama mkoani shinyanya zilizokuwa zikitumika kutekeleza vitendo vya uharifu hasa utekaji wa magari.

Alisema kwa mujibu wa upelelezi uliofanywa na jeshi hilo silaha hizo zimeishafanya matukio makubwa ambayo ni pamoja na mauaji, alisema silaha hizo zilimuua mmiliki wa kituo cha mafuta cha mwendo wa saa, wizi wa vocha za mamilioni uliofanyika wilayani Chato.

Salewi aliwapongeza wananchi walitoa taarifa za upatikanaji wa silaha hizo, aliwaomba wananchi waendelee kuwa karibu na jeshi la polisi ili lieendelee kuongeza hali ya amani mkoani Kagera.

Maofisa wa jeshi la polisi waliopewa zawadi ya vyeti vya utumishi uliotukuka na pesa tasilimi kila mmoja shilingi 200,000 ni pamoja na Mkuu wa upelelezi wa mkoa Peter Matagi, Dc Amos, Dc Masalla, Dc Tumaini na Mkaguzi msaidizi Haji.


hepi besdei ya kuzaliwa mai hazband wa mdau leo


''You walked into my world,and took residence in my soul,
You make my heart flutter ,
With what ever you do and every word you say
I will tell you this from the bottom of my heart
You mean everything to me
You are everything to me
I will forever keep loving you
Happy birthday sweet Husband


libeneke la kikombe cha dada wa tabora laendelea...

Leo ikiwa ni takriban siku kumi tangu Dada Mage aaanze kutibu wagonjwa kwa tiba anayodai kuwa kapewa na uwezo huo na Mwenyezi Mungu, Mtaa huo wa Urban Quarter umeanza kuwa maarufu hasa baada ya wachuuzi wa vyakula vya kila aina kuanza kutoa huduma hapo. Kama uonavyo leo pana takriban watu 2000 hivi ukifananisha na jana ambapo palikuwa 500 hivi. Kwa picha na habari zaidi mtembelee Mkala Fundikira katika keronyingi blog.
BOFYA HAPA


PHOTO-EXHIBITION AT NAFASI ART SPACE, MIKOCHENI

Photo Exhibition

At Nafasi Art Space, Mikocheni

FREE!

Open till 10 April

Mon. to Fri. 10am- 5pm

Saturdays 9am- 3pm


JK alipotembelea Wizara ya Maliasili na Utalii

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Maliasili na utalii wakati alipofanya ziara yake ya kukazi wizarani hapo.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na viongozi pamoja wafanyakazi wa Wizara ya maliasili na utalii wakati wa ziara yake ya kikazi Wizarani hapo.


SAKATA LA UCHAKACHUAJI WA VOCHA ZA RUZUKU WILAYA YA MVOMERO.

Baadhi ya mashuhuda wa kijiji cha Mlumbilo , Kata ya Mtibwa, Mvomero wakinyoosha mikono juu kuashiria walipewa sh; 10,000 na akusaini vocha bila kupata pembejeo za kilimo
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Mlumbilo, Kata ya Mtibwa, Wilaya ya Mvomero wakinyopsha mikono juu kuashiria walisaini vocha na kupewa sh 10,000 bila ya kuchukua pembejeo za kilimo
Baadhi ya watuhumiwa wa wizi wa vocha za ruzuku katika kijiji cha Mlumbilo, Kata ya Mtibwa, Mvomero, wakiwa wamefungwa pingu mikonini mwao wakisubiri kufikishwa kituo cha Polisi Mtibwa
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh. Fatma Mwassa, ( aliyevaa vitenge ) akiambataana na viongozi wengine kwenda Kijiji cha Mlumbilo
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh. Fatma Mwassa akifafanua jambo kuhusu mbuni zinazotumiwa na mawakala wa pembejeo na watendaji wa vijiji kuhujumu vocha hizo na kuibia seriikali mamilioni ya fedha. Picha na habari na John Nditi wa Globu ya Jamii

Mwenyekiti wa Mawakala wa usambazaji wa Pembejeo za Vocha za Ruzuku ya Serikali kwa wakulima katika Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro, Thomas Mushi na mwenzake Eliford Mahenge ni miongoni mwa watu 10 wakiwemo viongozi wa Serikali ya Kijiji cha Mlumbilo , Kata ya Mtibwa , wanaoshikiliwa na Polisi wakituhumiwa kuhusika na wizi wa vocha za Ruzuku ‘kuchakachua’ kwa nia ya kuibia Serikali mamilioni ya fedha.

Tukio la kukamatwa kwa Mwenyekiti huyo wa mawakala wa vocha za Pembejeo wa Wilaya ya Mvomero lilifanyika jana nyumbani kwake eneo la Madizini, Turiani, baada ya awali kukamatwa kwa wasaidizi wao waliowapatia jukumu la usambazaji wa vocha hizo kwa wakulima wa Vijiji kadhaa vya Kata ya Mtibwa, Turiani na Kibati.

Kukamatwa kwa watuhumiwa hao kumetokana na amri iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Mh. Fatma Mwassa, ambaye alifanya ziara ya kushitukiza katika Kijiji cha Mlumbilo kilichopo Kata ya Mtibwa, akiambatana na Mkuu wa Polisi wa Wilaya hiyo na Maofisa mwengine ,mara baada ya kupewa taarifa na wananchi wema juu ya kuwepo kwa uchakachiaji wa vocha hizo.

Wananachi hao walikuwa wakisainishwa vitabu vya vocha ya mbegu, mbolea na kupandia na kukuzia na kupatiwa sh: 10,000 kutoka kwa mawakala hao na kuacha kuchukua pembejeo hizo , ambapo kutokana na mpango huo mawakala wananufaika kwa kupata sh: 44,500 kutoka sh: 54,500 zinazotolewa na Serikali kama Ruzuku ya kuwachangia wakulima.

Waliokamatwa mbali na Mwenyekiti wa Mawakala wa Wilaya ya Mvomero na mwenzake ,ambao wengine ni Ofisa Mtendaji wa Serikali ya Kijiji hicho, Marko Mwakatundu na Mwenyekiti wake Enedeus Mdesa .

Wengine waliotiwa mbaroni ni Wasaidizi wawili wa Mawakala hao, ambao ni Hamis Bakari aliyekuwa mfanyakazi wa ugawaji wa vocha kupitia Wakala Mushi na mwezake Mohamed Juma , ambaye alikuwa akimfanyia shughuli za ugawaji wa vocha hizo wakala Mahenge.

Mbali na hao, wengine ni Mwenyekiti wa Kamati ya Vocha ya Kijiji, Amani Said pamoja na wajumbe wa Kamati ya Vocha , Benjamini Nzunza , Monica Sanane na Esther Peter .

Ofisa Kilimo wa Wilaya hiyo, Geoege Mhina, alisema mawakala hao kwa pamoja walipewa Vocha 1,200 zenye thamani y ash: 21,800,000 , zikiwemo za Mbegu , mbolea ya kupandia nay a kukuzia ambazo tayari Serikali imechangia kwa jumla wake sh: 54,500 na mkulima kupaswa kuchangia sh: 81,500 kwa pamoja.

Akizungumizia wizi huyo uliofanywa na Mawakala hao kwa kushirikiana na watendaji wa Serikali ya Kijiji hicho, Mkuu huyo wa Wilaya alisema kuwa wote watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo , ambapo kwa watendaji wa Serikali ya Kijiji pia watachukuliwa hatua za kinidhamu kwa kuachishwa kazi mara moja.

Aliwapongeza wananchi wenye uzalendo na nchi yao kwa kuwafichua mawakala na watendaji wao wanaowahujumu na kuwasababishia washindwe kuongeza kasi ya uzalishaji wa mazao ya kujitokesheleza kwa chakula na biashara.

Hata hivyo jinamizi hilo la uchakachuaji wa vocha za ruzuku limejitokeza tena katika Wilaya hiyo muda mfupi baada ya kuanza upya kwa zoezi la usambazaji wa vocha hizo kufuatia kuzitishwa na Mkuu wa Mkoa huo Issa Machibya , mapema Juanuari , mwaka huu kwa ajili ya kuhakikiwa upya kutokana na uchakachuaji uliojitokeza mwishoni mwa mwaka jana.




WAZAMBIA WAZUNGUMZIA LOLIONO NA USHIRIKIANO WA TANZANIA NA ZAMBIA


babu wa loliondo apasua anga za kimataifa


Vyombo vya habari vya kimataifa navyo havijawa nyuma katika kuelezea yanayotokea Loliondo kwa Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, KKKT, Ambilikile Masapila (pichani kulia) na tiba yake.

Hapa ni vyombo viwili maarufu kwa habari za kimataifa, BBC na The New York Times na machapisho yao.



The New York Times wanaandika hivi:


He’s a sensation in two countries. He’s snarled traffic for miles. He’s so popular that people have literally died waiting in line to see him. Ambilikile Mwasapile, a 76-year-old retired pastor in rural Tanzania, has been offering a herbal concoction that he bills as a miracle potion that can cure just about any illness. In the past few weeks, tens of thousands of sick people have scrambled for a sip of his homebrewed drink. Some, apparently, have even flown in by helicopter.

On Monday, Tanzanian officials said that several dozen elderly and sick people had recently paid the price for joining the throngs.

“They died from the long queues,” said Isidore Shirima, a local official in Arusha, a town popular with tourists about six hours’ drive from the pastor’s village. “We’re not going to stop this, but we want to organize it better.”

Mr. Masapile, a former Lutheran preacher, lives in Samunge, a village in the middle of the savannah near the Kenya-Tanzania border. He began administering his miracle potion several months ago, and charges about 30 cents a cup. He says it can cure AIDS, cancer, diabetes, high blood pressure — you name it.

Click here to continue reading this story
.

BBC wanaandika hivi:

A Tanzanian pastor has asked people to stop going to his remote home for a "miracle cure" after thousands flocked there, causing chaos in the surrounding area. Rev. Ambilikile "Babu" Mwasapile, 76, says he does not want any new arrivals until after Friday 1 April, to let the crowds die down.

Local media report that about 52 people have died while waiting to see him. A BBC reporter says the queues to see him stretch for 26km (16 miles).

The concoction is made from herbs and water, which he sells for 500 Tanzanian shillings (30 cents; 20p).
Click here to continue reading this story.


SIGNING CEREMONY OF HOST AGREEMENT BETWEEN ICGLR AND THE GOVERNMENT OF THE REPUBLIC OF ZAMBIA

Witnessing the signing of the Centre Host Agreement of the Regional Centre by Partners, the Diplomatic Community, Other Stakeholders and Senior Government Officials in Lusaka at the Ministry of Foreign Affairs Conference Room

Historic moment: Executive Secretary of ICGLR Ambassador Liberata Mulamula with the Zambian Minister of Foreign Affairs Honourable Kabinge Pande signing the Agreement in Lusaka on 24th March 2011

Tea Break after the hard work: Ambassador Mulamula conferring with Frank Okuthe-Oyugi, Executive Director of the Lusaka Regional Centre immediately after the signing ceremony

Dignitaries at the signing ceremony pose for a photo with H.E. Ambassador Mulamula and the Host, Hon. KabingaPande after the ceremony. From left: H.E. Samuel Munatta, Chargé d’Affaires High Commission of the United Republic of Tanzania; H. E. Dr Kipyego Cheluget, Kenya’s High Commissioner to Zambia; Ambassador Lucy Mungoma, PermanentSecretary, Ministry of Foreign Affairs; Dr Frank Okuthe-Oyugi, Executive Director Levy Mwanawasa Regional Centre; Hon. Prof. Fashion Phiri, Deputy Minister of Foreign Affairs and H. E. Moses Chikeni, South African High Commissioner to Zambia.

Ambassador Liberata Mulamula, International Conference of the Great Lakes Region (ICGRL) Executive Secretary was in Zambia from 23rd to 25th March 2011 for the much awaited signing ceremony of the Host Agreement between the Government of the Republic of Zambia and the International Conference on the Great Lakes Region.

During the occasion, Ambassador Mulamula thanked President Rupiah Bwezani Banda and the Government of Zambia for accepting to Host Centre. Ambassador Mulamula said that the event was a fulfilling end to a long journey as it marked the culmination of the will expressed by the Heads of States and the Governments of Member States of the ICGLR in the 2004 Dar-es-Salaam Declaration, which was followed by the signing of the Pact on Security, Stability and Development in the Region in Nairobi 2006.

She recalled that it was the Nairobi meeting that had recommended the establishment of a Regional Centre in Zambia to act as a key institution for the promotion of Democracy, Good Governance, Human Rights and Civic Education in the Region.

Ambassador Mulamula added that the mission of the Regional Centre was to reinforce the institutional capacities of Member States in the areas of Democracy, Good Governance, Human Rights and Civic Education through research, training, follow-up and facilitation of dialogue and consultations between various social and political actors in the region.

The Centre would concentrate on intensifying the ICGRL’s efforts in the search for durable solutions to issues of Democracy, respect of the Rule of Law and Human Rights which will sustain Peace, Security, Stability and Development in the Region.

The Ambassador added that the Centre would play a pivotal role in providing policy oriented recommendations for informed decision making and action by the Governments and other Stakeholders.

“Our dream is to mode the Centre into the “Think Tank” and Resource Centre of the ICGLR by making it the melting pot of all progressive ideas aimed at achieving the ideals of the Pact, particularly those relating to the issues of democracy, good governance, human rights and civic education”, the Ambassador said.

Ambassador Mulamula attributed the hosting of the centre to the late President Levy Patrick Mwanawasa’s tireless efforts in mobilizing his then fellow Heads of States to give Zambia the opportunity to host the Centre.

She further said that the setting up and naming of the Centre after the late President were a befitting tribute to a leader who had tirelessly championed good governance and wanted to make Zambia a shining example.

She also appreciated the role that late Ambassador Siteke Mwale played in spearheading the efforts to find a suitable home for the Centre in Lusaka.

Ambassador Mulamula concluded by introducing to the assembled guests the founding Executive Director of the Centre, Dr Frank Okuthe-Oyugi.



Idadi ya watu
Idadi ya watu
eXTReMe Tracker