Mdau Mwantumu Dau akfurahi baada ya kula nondozzz ya Masters ya Msc Risk Management toka Chuo Kikuu cha University of East London.Mahafali yalifanyika kwenye ukumbi wa London O2 |
Mwantumu akfuraha na Papaa Haruna Mbeyu 'Meya wa London' |
Mwantumu na mdau baada ya kula nondozzz zake
Furaha na familia baada ya Nondozzz |
Wadau wakjumuka na Mwantumu baada ya kula nondozzzzzz
pliz plz naomba contact na hiii familia ya mwantumu,,naitwa shesha ni mwanachuo hapa nchini algeria,,,my contact +213553748785
ReplyDeletecongraturation wasomi kama niyie mnahitajika huku msibaki huko kujilipua, dada mwenye pink mrembo ila huo mkoba kama kabeba mabomu ya kujilipua apewe nae uraia,ila nimempenda mzuri.
ReplyDeleteJESUS CRIST.
Mdau hapo juu unapekua sana,hujui mikoba ya dada zetu siku hizi lazima iwe mikubwa ili na juice siwemo humo.warembo wazuri ila make-up zimezidi.
ReplyDeleteMDAU
AMON HONGOLI
NORWAY
Wasomi muache hulka ya Kujilipua au pia kukaa sana Ughaibuni kwa muda mrefu bila mpango wa maana!
ReplyDeleteJengeni kujiamini na kuona pia nyumbani hata kama hamkai huku angalau mnaweza fanya mambo huku Bongo wakati mpo huko Majuu kama:
Mnaweza shiriki katika,
-Ufugaji wa Nyuki na Upakuaji asali Tabora.
-Kushiriki mipango ya kuondoa umaskini kwa ku invest DOLLA na POUND zenu huku baada ya kubeba mabox huko. (Najua mtangáka labda Ohhh pesa yangu itapotea, kwani hamna waelewa masula ya Uendeshaji wa Fedha mingoni mwenu?,,,(FINANCE MANAGEMENT au kama hiyo yako dada Mwantumu RISK MANAGEMENT)
-Miradi ya kukata mkaa Kaliua-Tabora sambamba na Uhifandhi wa Mazingira,
Na mipango mingine mingi kibaoo!
HARUNA....MEYA WA LONDON HEHEHEHE..HAJITUPI HUYU NI MTU WA WATU JAMANI.
ReplyDeleteCongratulation mummy your family is behind in each step of your life.... your son abubakar issa
ReplyDeleteDAU MKURUGENZI WA NSSF, TUNAKUPONGEZA SANA KWA JINSI UNAVYOSAIDIA NA KUWA KARIBU NA NDUGU ZAKO. ANGALIA MARAFIKI ZAKO WALIOFANIKIWA KAMA WEWE WENGINE WANAKATAA HATA NDUGU ZAO. MUNGU AKUBARIKI KAKA NA AKUZIDISHIE.
ReplyDeleteNakuona Mariam Mungula,Advocate Abdulfattah mwalimu wangu wa Sheria IFM.
ReplyDeleteHongereni sana.Hawa watu ni Watanzania Halisi na wazalendo wakubwa kwa Nchi yao.mambo ya kujilipua yametokea wapi?
Dada Mwantum Dau ni mtendaji Mwandamizi Wizara ya Fedha.kweli jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza.
naona ni wivu kama mdau wa hapo juu kusema kuwa waende kuvuna Mkaa Kaliua-Tabora kweli wasomi kama hawa wakauze mkaa? ni chuki na dharau.
Kamanda Mbeyu ni JK wetu hapa Uingereza.kama watanzania wote tungekuwa kama Haruna Mbeyu basi tungepiga hatua kubwa ya maendeleo.
ReplyDeleteSafi sana Dada Mwantum tutakumiss kwenye Community yetu.
Bwana ashukuriwe.
Mdau Anonymous wa Sun Jan 08, 11:05:00 PM 2012
ReplyDeleteKUKATA MKAA KALIUA-TABORA
Kazi nia kazi bora mkono uende kinywani! na ili mradi iwe ya halali!
Nani alikwambia kuwa kwa sababu umesoma iwe huwezi kufanya kazi kama Kukata Mkaa?
Nani alikwambia kwa kuwa unaishi Ughaibuni kama Uingereza huwezi shiriki ktk shughuli za kawaida kama kilimo, ufugaji za zinginezo huku nyumbani?
Ninyi ndio wajinga wachache wenye kudharau kazi zingine na kufikiri kusoma ndio pekee njia ya kufikia malengo ya maisha!, na pia hadhi na heshima ya utu wa mtu inatokana na elimu aliyonayo!
Wivu gani?, Dharau gani?
TUNATAKA JAMII YA WATANZANIA,INAYOTHAMINI MCHANGO WA KAZI, INAYOWEZA KUJITUMA KATIKA KAZI ZA AINA ZOTE BILA KUBAGUA AU KUDHARAU ,VILE HIZI ZOTE NDIO SEKTA ZA UCHUMI WETU NA MAENDELEO YETU NCHINI TANZANIA!
MAANA YA KUSOMA KWA JAMII ZILIZO PIGA HATUA:
ReplyDeleteKwa jamii zilizopiga hatua ya maendeleo kama Israel na Japan, kusoma sio ukuta unaokuondoa katika shuhguli za mikono kama:
-Bustani za maua na mboga,
-Kazi ndogo ndogo za usindikaji wa vyakula,
-Kazi za mazingira na za kujitolea
-Mchango wa kushiriki kutoa fikra kwa fadia na kazi za jamii na mengineyo mengi kutokana na elimu aliyo nayo.
TOFAUTI YA MSOMI WA JAMII HIZO ISRAEL NA JAPAN NA MSOMI WA TANZANIA NI KUWA HUYU MSOMI MKONONGO HATA BUSTANI YA MAUA KWAKE NI VIGUMU KUTUNZA KWA VILE AMESOMA!
NDIO MAANA MDAU ANASHANGAA SUALA LA MSOMI KUKATA MKAA KALIUA-TABORA AKIDAI NI KUONEWA WIVU AU KUDHARAULIWA!