Mi napingana na wewe mdau wa hapo juu, pia kuna wengine kazi kama hizi zipo damuni...hata bila pesa kuna watu wanaofanya hivi. Kupenda kazi yako ni raha sana! Na hakuna kitu kizuri kama kupenda kazi yako, hata wakwambie ujigalagaze kwenye matope utajigalagaza tu, kama unaipenda kazi yako kisawasawa bila kusubiri ulipwe!
YEP!KAZI NZURI SANA,WADAU PIGENI KAZI MAANA BILA NYIE NO TASWIRA NA WALA HATUWEZI JUA NINI KINAENDELEA NCHINI. KAZI YENU IMETUKUKA SANA!
pesa noma,pata picha kama hawa jamaa wangekua wameobwa tu,au wamelazimishwa wapige picha nafikiri mikao hiyo isingepatikana
hahahaa , this is too much !hii style england awawezi ruhusu! ahhaha
mdau paris
Bila ahadi ya 'Sarafu' au chochote ni vigumu mtu kuambiwa ukae ktk mikako ya namna hii!
Ama kweli Muusho huoshwa. Nyie mwawapiga wengine na mwingine kawapiga nyie.hahahahahahahahah
Mi napingana na wewe mdau wa hapo juu, pia kuna wengine kazi kama hizi zipo damuni...hata bila pesa kuna watu wanaofanya hivi. Kupenda kazi yako ni raha sana!
Na hakuna kitu kizuri kama kupenda kazi yako, hata wakwambie ujigalagaze kwenye matope utajigalagaza tu, kama unaipenda kazi yako kisawasawa bila kusubiri ulipwe!