Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Hamis Dihenga, ( kati kati) akikata utepe kabla ya kwenda kuweka jiwe za msingi ya ujenzi wa ukumbi wa mihadhara (awamu ya pili) wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo ( SUA) na ( kulia) ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania , Rosemary Lulabuka na ( kushoto) ni Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu SUA, Profesa Gerald Monella, hafla hiyo fupi ilifanyika Aprili 30, mwaka huu Chuoni hapo Mjini Morogoro.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Hamis Dihenga, ( kati kati) akibadirishana mawazo na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania ( TEA) , Rosemary Lulabuka ( kushoto) pamoja na Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo ( SUA), Profesa Gerald Monela ( kulia) mara baada kuweka jiwe za msingi la ujenzi wa ukumbi wa mihadhara (awamu ya pili) SUA, Aprili 30, mwaka huu Chuoni hapo mjini Morogoro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...