Home
Unlabelled
Msikilize Prof. Rebecca Kammer ambaye ni mtaalam wa Matibabu ya Macho kwa Watu wenye Ulemavu wa Ngozi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mama kachambua kiprofessor. Hajakariri bali anaelewa anachokizungumzia. Madoctor na ma-professor wengi wenu hampendi fani zenu, mpo mpo tu, that's why mnaamua kukumbilia siasa na hatimaye kuwa wezi na mafisadi.
ReplyDeleteDr Mr President, baraza lako limejaa madoctors na maprofessors lakini ufanisi wake bado ni mdogo sana. Umewahi kujiuliza sababu ni nini ? Yaani kwenye baraza zima kuna madoctors wawili tu ndio active, the rest haieleweki coz wako kimaslahi zaidi.Mr president fatilia kwa umakini mawaziri wako kwani ndio wanaokuangusha, hatimaye wewe ndio unaonekana umeshindwa.Usingoje wananchi walamike, ukijua ni fisadi timua moja kwa moja na sio kumhamishia sehemu nyingine, hii nayo inazidi kuwafanya waharibu coz wanajua watapewa kazi nyingine.Vua sura ya utu wa watu na uvae sura ikiwezekana ya shetani ndio nchi itasonga mbele.Mwambie waziri fulani akuazime sura yake ili ufanyie kazi ili umalizie muda wako kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi unaonekana kwa watu na sio vitabuni.