Mhe. Dr. Limbu (kiongozi wa ujumbe wa Tanzania,kushoto), akiwa na Waziri wa Nishati wa Trinidad & Tobago, wakati ujumbe huo wa Tanzania ulipoitembelea Wizara ya Nishati kujifunza sera zinazohusu masuala ya gesi nchini Trinidad & Tobago.Ujumbe huo wa Tanzania wenye Waheshimiwa Wabunge na maafisa wa Serikali na TPDC, wapo katika ziara ya mafunzo nchini Trinidad & Tobago, kujifunza na kupata uzoefu wa nchi hiyo kuhusu masuala ya nishati ya gesi
Mhe. Dr. Limbu akimkabidhi zawadi, mmojawapo wa wenyeji wa ujumbe wa Tanzania katika ziara ya mafunzo nchini Trinidad & Tobago.
Baadhi ya Waheshimiwa Wabunge na Maafisa wa Serikali, katika picha ya pamoja kabla hawajaanza ziara katika maeneo muhimu yanayohusu gesi nchini Trinidad & Tobago.
Ujumbe wa Tanzania pamoja ujumbe wa Trinidad & Tobago katika picha ya pamoja. Wa tatu kulia ni Mhe. Dr. Limbu, ambaye ndiye kiongozi wa ujumbe wa Tanzania.
Mitambo maalum ya gesi nchini Trinidad & Tobago.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2012

    Oooh no, wot are they learning there? Study tour hizo ni waste of public funds.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2012

    kweli mdau hapo juu kwa nini wasiende sudan au nigeria na nchi nyingi tu afrika zinamafuta na bei rahisi ya gharama kuliko kutumia hela za maskini kutembea nchi za watu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...