Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 27, 2012

    he is good man. reminds me of churchill of kenya.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 27, 2012

    Huyu jamaa hachekeshi hata kidogo!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 27, 2012

    shukran issa muhidin ndugu yangu wewe poa sana nilitoa comment ya kutaka kumuona jamaa kwenye clips na sasa umetuwekea wewe poa sana may Allah bless you so much with your family and friends amin.

    mdau New York

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 27, 2012

    Habari Ankal,

    Huyu bwana anajitahidi sana. lakini ukweli ni kwamba ni vigumu sana kuchekesha kwa lugha ambayo sio asili yako. Angetumia Kiswahili angepata watu wengi zaidi na kuwaacha hao wazungu wachache anaowafurahisha hapo.

    Comedy yake imekaa kama ya high end (waliosoma). Watanzania wengi hawajui kiingereza, yeye akiwa mmoja wao. Atumie Kiswahili ili kupata soko kubwa

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 28, 2012

    jamaa sijamkubali hata kidogo hachekeshi kabisa analazimisha tu..watu kama kina mpoki au joti ndio comedians wa kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...