Globu ya Jamii jana ililetewa taarifa na Mdau kuwa Libeneke la Shirika la Ndege Tanzania kuwa limepata kwikwi,hivyo Globu ya Jamii ikaamua kufanya utafiti wake na kubaini kuwa Libeneke hilo la Air Tanzania liko hewani na linakula mzigo kama kawa.
Tembelea libeneke lao hilo kwa kubofya link hiyo http://airtanzania.co.tz/
Afadhali uwanja wa ndege wetu uko mbali na vituo vya mabasi. Nimeangalia leo taarifa ya habari, Ghana ndege itokayo Lagos imegonga basi na kuua watu 10. Haya sasa na wapopo wenyewe ndege yao imeanguka na kuua wote. Hizi ajali si mchezo.
ReplyDeleteKwa taarifa zaidi bofya hapa:http://edition.cnn.com/2012/06/04/world/africa/nigeria-plane-crash/index.html
Ni hayo tu.
Ni mimi
Mr Nyamaimewahi Kunikabashingoni
Hizo ndege zingine wanazozitegemea zije haraka basi.Biashara asubuhi Mr.Chizi
ReplyDelete