Brother Michuzi...Salam,
Naomba tusaidiane kumtafuta Dada mmoja anaitwa Brenda Nkya Massawe,maana ninayo pochi yake aliyopoteza
Naomba anitafute kupitia namba ya Simu hii 0783 940 288..
Note: Ingawa ndani ya pochi kuna picha yake.lakini ni vizuri aje na utambulisho mwingine utakaoniwezesha niamini kuwa ni yeye.
Ahsante.
KAJAMAA HAKA NAKAPENDA SANA SAUTI SAFI KABISA ,,,, NAMTAKIA KILA LA KHERI UENDELEE KUWA MTOTO MZURI.MUNGU ATAKUONGEZEA..AMEEN
ReplyDeleteNi mfano wa kuigwa ewe Muungwana, Mola akuzidishie kwa uaminifu wako!
ReplyDeleteMmmh mwanangu hiyo inaitwa "kuokota embe chini ya muarobaini!"
ReplyDelete