Mbunge wa Ubungo(CHADEMA)John Mnyika Akihutubia na akisikiliza maswali na kutoa somo la kudai uwajibikaji wa serikali kwa wananchi, elimu ya katiba mpya na M4C, kwa wanakijiji katika maeneo ya wilaya tofauti za Newala na Nanyumbu
Mbunge wa Ubungo(CHADEMA)John Mnyika Akimsikilzia Katibu wa Tawi wa CUF, Bi. Zaituni baada ya kutoa somo la kudai uwajibikaji wa serikali kwa wananchi, elimu ya katiba mpya na M4C, kwa wanakijiji katika maeneo ya wilaya tofauti za Newala na Nanyumbu.
Picha na Habari na Kurugenzi Ya Habari-CHADEMA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 08, 2012

    pigeni msasa vijana wachapakazi wa chadema sisi wa huku ughaibuni tunawaunga mkono moja kwa moja na tutahakikisha mchango wetu tutachangia ili 2015 tuchukue nchi ili tujaribu kufanya mabadiliko.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 08, 2012

    Naona huyu posho aliyopata haitoshi, mbona katoa macho. Pesa ikiisha semeni tutawapa CHADEMA. Huko kwetu tutakuchukulia likizo wakati wa uchaguzi, hao shiba tu ndio wanayotaka na nyinyi ndio wakati wenu wa kuwashibisha, nyie chezeeni nyoka, bila ya shiba hamwoni ndani huko.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 08, 2012

    CHADEMA,kazi yenu ni njema na MUNGU ATAWATANGULIA KWANI MMEAMUA KUWAOKOA WATANZANIA.
    Sisi ambao hatupo kwenye ziara ya operation hizo tutajitahidi kusomesha watu kwa up[ole na wanatuelewa tu.
    MUNGU IBARKI TANZANIA

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 08, 2012

    Ndugu zangu wa Newala, Nantumbu msikubali kurubiniwa, malaghai hao hawana nia njema. Kitakachotokea hapo mtakuja kujuta maisha yenu yote waogopeni kama upupu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...