Hatimaye video ya wimbo Party Zone kutoka kwa AY akiwa amemshirikisha Marco Chali(producer ambaye siku hizi anaanza kuja juu kwa utundu mwingine ndani ya muziki) imetoka.Inasemekana kuwa mojawapo ya video za gharama kubwa kabisa zilizowahi kufanyika miongoni mwa wasanii wetu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2012

    Nice video na dance music, hivi wadau nauliza hivi wasanii wanavyotengeneza video kwa matangazo na kuonyesha alama za biashara kwenye nguo wanzaovaa, je wanalipwa? kfm. "butan" kama sijakosea ni trademark ya designer wa south africa?? je wanlipwa??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...