Waafrica waishio nchini Papua New Guinea wakisherehekea African Union day siku ya tarehe 2/6/2012. Mtanzania Doreen Mosha Kahwa ambaye alikuwa mwenyekiti wa maadalizi ya siku hiyo (aliyesimama mbele) akitoa neno la shukurani kwa waheshimiwa mabalozi na wageni waalikwa. Doreen Mosha Kahwa ni mke wa mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa anayefanya kazi nchini Papua New Guinea.
Wakimama wa kitanzania wakicheza muziki wa kiaafrika wakati wa sherehe hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2012

    Hongera Mama Kahwa kwa kurusha jina la nchi yetu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 05, 2012

    Duh! ... Papua New Guinea?! .. mbali kote huko WaTz wapo! - Duh!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...