Wadau wa Umoja wa wanataaluma waliosoma China (CAAT) wamkaribisha Balozi mpya wa China Bw Lu Youqing .Kutoka kulia ni Johnspeter Majura,George Oreku,Balozi Lu Youqing,Fredy Maiga na Burton Kihaka.Pamoja na ukaribisho huo vilevile wadau wameongelea ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na China hasa nyanja za kilimo ,Teknoloj ia na Uwekezaji kwenye viwanda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...