Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2012

    No turns allowed at the intersection.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 05, 2012

    hapo ni No turns inatakiwa kuendelea moja kwa moja. Kwa mameno mengine huwezi kata kulia au kushoto. a

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 06, 2012

    Neither left nor right turn is allowed. Keep the f*@#%k straight.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 06, 2012

    confuse.com

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 06, 2012

    Tuachane na hayo mabango Je hizo Tax hapo ndio sehemu yake ya kuegeshea magari au? Kama ndio basi Serikali ijitahidi kuwawekea maeneo yao tu na vibali na pia sio kujenga migorofa tu tukumbuke na sehemu za kuegeshea magari basi.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 06, 2012

    Hapo wangu kibao tu kimegeuka lkn maana ilikuwa uende moja kwa moja usikate kulia wala kushoto

    ReplyDelete
  7. Chezea Bangi wewe? Ah! Bange mbaya kaka we acha tu!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 06, 2012

    Kuna shida fulani katika vibao vingi vya alama za barabarani hasa katikati ya Jiji. Mfano mwingine ni pale Makutano ya Br. ya Biti Titi Mohamed na Nkrumah. Kuna kibao chenye alama ya 'Hakuna Njia' (Kinazuia magari yasiingie Nkrumah kutoka Mnazi Mmoja na Kamata) lakini magari yanapita hapo kila siku kuja Br. ya Samora. Hali kadhalika, makutano ya Br. za Ohio na Garden (PPF Tower/ATC) pana kibao cha alama inayosomeka 'Usipinde Kushoto' yaani kutoka Br. Ohio kwenda Br. Garden/Imalaseko, lakini kibao hicho kimefutwafutwa. Naomba Ankal waulize Tanroads ama Jiji kwamba kwa nini vibao hivyo vinavyotuchanganya bado vipo hapo vilipo?

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 06, 2012

    "Uchimeze,Usimumunye wala Uchiteme"

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 06, 2012

    Hizo inatukumbusha hadithi za zamani kuhusu walinzi wa kimakonde ambao wakikukamata wanakuambi! Ukisimama nchale, ukikimbia nchale, ukikaa nchale! ukichuchumaa nchale!!!!!

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 06, 2012

    Maana Yake nenda moja kwa moja usikate kushoto wala kulia

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 06, 2012

    Iko poa..alama zinamaanisha hakuna kukata kona kwenda shoto wala kulia. Maana ukitaka kula kona unasababisha msururu nyuma na flow of traffic hamna.

    ReplyDelete
  13. mdau lubidaJuly 06, 2012

    nadhani walitaka kufanya mabadiliko fulani lakini yalikuwa hayajapitishwa ndiyo maana walikuwa wamelifunika bango moja wapo

    hivyo hapo maana yake usimeze wala usiteme tehetehetehe

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 06, 2012

    hii inaaonyesha ubadirifu wa hali ya juu wa mali ya umma na pessa za walipa kodi,kwa maana ilikuwa hakuna haja ya kutumia mabomba mawili wala mabati ya alama mawili kwani nina uhakika ipo alama moja ambayo ingetosheleza kuwekwa hapo na kutoa maana halisi ya kilichokusudia (kwenye muongozo wa alama za barabarani)

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 06, 2012

    one way only,TBS wanafanya nini au ubora wa dawa tu?


    mdau wa kimbiji

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 06, 2012

    Basically hii nchi ni kichwa cha mwendawazima!! Kuna mtu amepewa Kandarasi Katikati ya Jiji Ya kuweka Vibao Hivyo ila alikuwa Hana scope ya kazi aliyotakiwa kufanya Hivyo Mkanganyiko ni Mtindo Mmoja!!

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 06, 2012

    moja inawahusu watembea kwa miguu!lol

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 06, 2012

    Watoto walikua wanajifunza kuchora jamani

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 06, 2012

    UZEMBE KASORO MKIA....!

    ReplyDelete
  20. AnonymousJuly 06, 2012

    kati ya jiji la Dar, eneo la kisutu na posta yamejaa kibao. mbali na aliyoyasem anonimous mmoja hapo juu, pia yapo eneo la ocean road kuelekea kivukoni, kisutu, nk

    ReplyDelete
  21. Mdau GenevaJuly 06, 2012

    Simpo, usikate kulia wala kushoto.

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 06, 2012

    Ni yale yale ya kutokuwa makini na tunalolifanya. Pia kutoshirikisha wengine kutoa maoni. Unajua kichwa kimoja hakikwezi kuona kila kitu hasa pale unapotaka watu wengi wakuelewe wakati unapotumia ishara na vielelezo. Vyote vinatakiwa vieleweke dhahiri kwa kutoa likusudiwalo kwa yeyote yule anaviangalia.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...