TAREHE 05 JULAI 2012 UNATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU UITWE NA BWANA NA KUTUTOKA HAPA ULIMWENGUNI. JAPO UMETUTOKA KIMWILI LAKINI BADO UPO MIOYONI MWETU NA UNAKUMBUKWA NA KUENZIWA SANA NA MUMEO MERITUS, WANAO GLORY, GLADNESS NA GALLYA, BABA YAKO LUTENI KANALI MSTAAFU FIDELIS MNYANYI, WADOGO ZAKO WAKWE NDUGU NA MARAFIKI ZAKO PIA.
“RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE, APUMZIKE KWA AMANI…AMINA”
Limetajwa jina la mume na jina la baba. Hakuna jina la marehemu wala jina la mama. Mfumo dume to the fullest!
ReplyDeleteAnyhow, poleni sana jamaa zangu na jirani zangu wa zamani, Hill Road, Oyster Bay.
Ulikuwa mwema na mfano wa upole kwetu wadogo zako. Njia bora ya kudumisha kumbukumbu yako kwetu ni kuendeleza legacy ya yale ulotufundisha, cha kwanza humility.
Pumzika kwa Amani.
Nimeumia sana kuona tangazola kumbukumbu dada yangu na hata msiba wako sijausikia. Najua ni vigumu kupata habari tangu tulipoachana pale Tabata bima kwenye nyumba za nssf mungu akulaze mahali pema peponi. Poleni sana wafiwa na hasa rafiki yangu mpenzi Rose Mnyanyi
ReplyDelete