Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpokea makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini, Kgalema Motlanthe, aliyewasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya siku mbili, ambapo atakuwa na mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Bilal na kesho atatembelea Mazimbu mkoani Mororgoro.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na kuzunguma jambo na makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini, Kgalema Motlanthe, aliyewasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya siku mbili, ambapo atakuwa na mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Bilal na kesho atatembelea Mazimbu mkoani Mororgoro.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini, Kgalema Motlanthe, baada ya kuwasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya siku mbili, ambapo atakuwa na mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Bilal na kesho atatembelea Mazimbu mkoani Mororgoro. Picha na Muhidin Sufiani-OMR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 09, 2012

    Hawa Wasouth hawana mpango kabisa,

    Angalieni umuhimu wetu wanauona wakiwa na mahitaji na matatizo tu.

    Wamerutapeli kwenye Shirika lao la ndege wakavunja mkataba na sisi na kukomba faida yote wakarusha madege yote kuelekea kwao.

    Ona sasa kunatazamiwa Uchaguzi AU kule Addis Ababa mwezi huu wanae Mgombea wao wanataka tuwaunge mkono.

    Hakuna lingine analofuata huyo Makamu wao wa Raisi!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 09, 2012

    unajua mara nyingi sisi wananchi tunaambiwaga tu kwamba kiongozi kutoka nchi fulani amekuja kwa ziara ya siku kadhaa, ila hatuambiwi haswa ni nini wanachizungumzwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...