Redd's Miss Tanga 2012,Theresia Kimaro (katikati) akiwa katika picha ya Pamoja na mshindi wa pili,Beatroce Joseph na wa tatu Johari Harom muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano lao liliilofanyika usiku huu kwenye Uwanja wa Mkwakwani,Jijini Tanga leo.
Washiriki walioingia tano Bora.
Washiriki wote stejini.
Wachaga urembo ndio asili yao yenu na kumbukeni miss tz. wa kwanza kabisa alikuwa mchaga, kumbukeni akina hoyce Temu na mafanikio yao hawana kashfa za kishenzi kama makabila mengine ie Wema!
ReplyDeleteHongereni sana wachaga kwa kulelewa
www.misstanzania.net
ReplyDeleteMtoa mada hapo juu jipe moyo. Kumbuka kuna wazuri wenye class ambao hawawezi kamwe kushiriki mashindano kama hayo. Hatuna haja ya kusema sana wazuri tunajua wanatoka wapi!!!!
ReplyDeletewarembo sio wachaga tu, kila mwanamke ni mrembo ila urembo wake unadhihirika pale tu anapokidhi viwango vinavyohitajika kwa sekta fulani
ReplyDeleteHongera sana Miss Redd's Tanga 2012 Theresia Kimaro. of course you deserve to have that crown but I advice you to be kind,honourable and confident. In those pillers you will be more accepted and you will get more chance to win Miss Tanzania. ok enjoy your victory
ReplyDelete