Kumekuwa na vurugu za hapa na pale, Polisi kupambana na vijana kwenye kituo cha kupigia kura wakati wa  uchaguzi mdogo kumchagua Mwakilishi wa jimbo la Bububu Zanzibar leo. (pichani) Polisi wa kuzuia ghasia wakisaidiwa na kikosi cha Valantia  kuwaondoa vijana   waliojikusanya karibu na kituo cha kupigia kura  kwenye  Shule ya Bububu.Picha zote na Martin Kabemba.







 Baadhi ya mawakala wa vyama wakifuatilia upigaji kura.
 Kijana akitumbukiza kura yake kwenye kisanduku cha kupigia kura jwenye kituo cha Shule ya Bububu Zanzibar 
Kiongozi wa chama cha siasa (kushoto) akizungumza na wandishi wa habari nje ya kituo cha kupigia kura

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. JEE CUF MTAKUBALI MATOKEO? AU NDIO TUWEKE MUWAKILISHI WA UMOJA? HALI HII INAONYESHA WAZI BADO HAMJAACHA YALE MAMBO LABDA SASA MSHIKAMANE NA CHAGEMA SIASA ZENU ZA FUJO ZINALINGANA.

    ReplyDelete
  2. UUNGWANA NI VITENDO!

    Maana ya kushiriki sio lazima, au iwe isiwe ushinde!!!

    C.U.F mmeshindwa ktk Uchaguzi acheni vurugu mjipange na pia muwe na busara kama Viongozi wenu wa juu waliokubali Muafaka kwa busara zaio za hali ya juu na kupevuka kwao Kisiasa.

    ReplyDelete
  3. naona akina ras makunja awachezi mbali na magitaa yao?

    ReplyDelete
  4. Kama isingetokea mshikemshike wangeonekana ktk vyombo vya habari? Kuuza sura muhimu yakhe!

    ReplyDelete
  5. CUF acheni Siasa za kishamba za kuvunja amani na utulivu!!!

    Mkileta mchezo mutafungwa!

    ReplyDelete
  6. Akina Ras Makunjas ni kama Kunguru wanaonyemelea mzoga gusa unase!

    Fanya 'nyoko' waenda kula urojo chuo cha Mafunzo!

    ReplyDelete
  7. Hao wafanya fujo wa CUF waletwe kufungiwa Magereza za Bara!

    Hehehehe watapokelewa vipi?

    Kwa chereko chereko na vigele gele!!!

    ReplyDelete
  8. Umeshindwa Uchaguzi Bububu Zanzibar kubali matokeo huku ukisubiria 2015 chukua nyavu ukavue samaki!

    CUF mmesikia?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...