Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Philipo Mulugo ( Kulia ) akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo kwenye picha) kuhusu Mtihani wa Kidacho cha nne na Mtihani wa Maarifa unaotarajia kufanyika tarehe 8 Oktoba hadi tarehe 25 Oktoba 2012 Nchi nzima kwenye Ukumbi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi mjini Dar es Salaam leo.kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani (NECTA ) Dkt. Enock Msonde
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Philipo Mulugo (kushoto ) akiongea na Waandishi wa Habari ambao hawapo kwenye picha kuhusu Mtihani wa Kidacho cha nne na Mtihani wa Maarifa unaotarajia kufanyika tarehe 8 Oktoba hadi tarehe 25 Oktoba 2012 Nchi nzima kwenye Ukumbi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi mjini Dar es Salaam leo.kulia ni Kamishina wa Elimu Prof. Eustella Bhalalusesa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...