Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na
Mwenyekiti anayemaliza muda wake wa UVCCM Bw. Benno Malisa alipowasili
ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufungua Mkutano Mkuu wa nane wa
Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo Oktoba 23, 2012.
Nderemo
baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho
Kikwete kuwasili ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma kufungua
Mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo ya vijana wa chama tawala leo
Oktoba 23, 2012.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano huo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...