Mnara wa Mwenge uliopo maeneo ya karibu na Hospitali ya Rufaa Mkoani Mbeya kama unavyoonekana.
Jengo la Mbeya Retco linavyoonekana sasa.
Jengo la Hospitali ya Aga Khan lililopo maeneo ya katikati ya jiji la Mbeya.
Jengo la Ofisi za Posta jijini Mbeya.
Mitaa ya Uhindini mjini Mbeya.
Eneo la BP kuelekea maeneo ya katikati ya jiji la Mbeya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...