Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kwenye kitabu cha maombolezo alipofika kutoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali hapa nchini.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali hapa nchini. Hapa ni nyumbani kwa marehemu Makwetta Bunju,jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais,Dkt. Ghalib Mohamed Bilal akitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Waziri Mkuu,Mhe. Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta.
Spika wa Bunge,Mhe. Anne Makinda akitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Waziri Mkuu Mstaafu,Mhe. Cleopa David Msuya akitoa heshima zake za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Uratibu wa Bunge,Mh. William Lukuvi akitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara),Mhe. Philip Mangula akitoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mjane wa marehemu baada ya kutoa heshima za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Mke wa Rais Mama Salma akiwafariji wana familia wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili kutoa heshima zao za mwisho na kuuaga mwili wa marehemu Jackson Makwetta ambaye kabla ya kufariki kwake juzi alipata kuwa Mbunge na waziri katika wizara mbalimbali.PICHA NA IKULU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Pole sana Atwite and the whole family. Mungu awatie nguvu name kuwapa faraja

    ReplyDelete
  2. Nyumba za wastaafu waadilifu mmeziona? ni za kawaida tu sawa na sie walipa kodi.

    ReplyDelete
  3. NANI ANAKUMBUKA WIMBO WA MAKWETA AMETUKOMBOA? HUYU BABA MAREHEMU ALIKUWAGA WAZIRI WA ELIMU, MAMBO YAKE YALIKUWA SWAAFI, EE MOLA MPE RAHA YA MILELE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...