Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (Katikati) akiwakabidhi Mkuu wa Wilaya ya Bahi Betty Mkwasa (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya hiyo Ernest msaada wa unga wa mahindi kwa ajili ya watu waliokumbwa na maafa yaliyosababishwa na mvua zilizonyesha Novemba 1, 2012.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...