Mzee Yusuf Mutagurwa akichangia jambo kwenye mkutano wa siku mbili unaojadili maendeleo ya millennia MDGs huku Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Utu wa Mtoto (CDF) kilichoandaa mkutano huo, Konsuma Mtengete akimwangalia.Wengine ni washiriki wa mkutano huo unaoendelea Sinza jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa mkutano unaojadili utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Milenia (MDGs), ulioandaliwa na kituo cha Utu wa Mtoto (CDF) wakiendelea na majadiliano kwenye mkutano huo unaoendelea jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...