Little Wonders Nursery & Primary School                                                                                     (Bagamoyo,Kiwangwa/Msata Road)

Ni shule mpya ya kisasa ya bweni,ipo Kiwangwa/msata road nje kidogo ya Bagamoyo umbali wa km 1.5, tunatangaza nafasi za kazi ya Ualimu wa Chekechea(Nursery) na Primary

Chekechea(Nursery)nafasi 5,Sifa za muombaji;
-Cheti cha kufundisha elimu ya Awali
-Cheti cha Kumaliza Form Four au Leaving Certificate 

Mwalimu Primary nafasi 4, Sifa za Mwombaji     
-Cheti cha Kufundisha Primary kama Grade A au Diploma.
-Cheti cha kumaliza Form Four au Leaving Certificate

*Mshahara ni maelewano ambayo yatafanyika wakati wa interview.

Tafadhali tuma maombi yako ukiambatanisha na namba yako ya simu kwenye 
email; j-humba@live.com  au piga simu  +255712619767

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...