Mwenyekiti wa bodi ya benki ya KCB Tanzania,Bw.Edmund Mndolwa katikati akimkabidhi moja ya msaada wa madawati kati ya 89 Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi ya Makumbusho Bi.Benedicta Lyimo,yaliyotolewa na benki hiyo yenye thamani ya Milioni 17.4,anaeshuhudia kulia ni Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo Bi.Christine Manyenye.
) Mwenyekiti wa bodi ya benki ya KCB Tanzania,Bw.Edmund Mndolwa kushoto na Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo Bi.Christine Manyenye wakioneshwa moja ya jengo la wodi ya kujifungulia wakinamama na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Sinza Dare s Salaam mara baada ya kukabidhi rasmi vifaa mbalimbali vikiwepo vitanda vya kujifungulia vine vyote vikiwa na thamani ya Milioni 7.4 kwa ajili ya kituo hicho.
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...