Home
Unlabelled
TAARIFA YA MVUA KUBWA, UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA KWA MAENEO YA PWANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
asante.
ReplyDeleteMvuvi Kigamboni
yaani kwa utabiri huu hata mimi naweza....maafa yashatokea lindi huko zaidi ya watu 200 hawana pakukaa na mvua kubwa na upepo na tahadhari inatoka sasa
ReplyDeletekheri ya mwaka mpya watu wa utabiri wa hali hewa
Hap hata pix wametumia za mafuriko ya Dar
DeletePIA soma habari husika utaona majibu ya TMA na hata kesho utasema hujasikia kama serikali ilitangaza
Deleteutabiri wa jambo lililoshatokea tayari mulikuwa wapi hamkutowa tahadhari mwanzoni, tusidanganyane wabongo hizi siri ni za allah tu....
ReplyDeletehttp://magangaone.blogspot.nl/2012/12/mvua-kali-yakosesha-makazi-kwa-watu-200.html
Kumbe tupo wengi tuliostukia huu utabiri wa hali ya hewa, nilidhani ni pekee niliyepata kusoma habari za maafa siku kadhaa nyuma kabla ya huu utabiri kwa maeneo husika.
ReplyDeleteHii kiboko.