Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiulizia bei ya nanasi kutoka kwa bwana Isack Edward ambaye ni mfanya biashara anaye uza mananasi katika moja ya mitaa ya Mkoani Katavi,anayetokea Mkoani wa Kigoma na kuleta Mananasi Mpanda.kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa Mkoa Katavi,Dkt. Rajabu Rutengwe.Waziri Mkuu yupo mkoani Katavi kwa ajili ya mapumziko ya krismasi na mwaka mpya.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiwaangalia Watoto Gifti Mathew (miaka 3) Leah Moses (3) na Gloria Shila (2) waliokuwa wakicheza nje ya nyumba yao iliyopo katika mtaa wa Mpanda,Mkoani Katavi siku ya mwaka mpya.Picha na Chris Mfinanga.
Mh. Pinda. Angalia pia ubora wa shule Gift, Leah na Moses watakazoenda, ilihali waweze kumudu maisha kwa kupambana na Utandawazi tuliyo ukumbatia. Watamudu kweli! Tufika wakati dhamira utuume.
ReplyDelete