Mwenyekiti wa
Mabalozi wa Afrika Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akihitimisha
Kikao cha Mbalozi wa Afrika Ubelgiji. Balozi Kamala amewaalika Mabalozi
wa Afrika na Wadau wengine wa maendeleo kuhudhuruia Mkutano wa Ushirikiano kwa
Manufaa wa Wote utakaofanyika Tanzania kuanzia tarehe 28/06/2013 hadi tarehe
1/07/2013. Aidha, alizitaka nchi za Afrika na Ulaya kuimarisha Ushirikiano
katika sekta ya teknolojia.
Home
Unlabelled
Dr. Kamala akihitimisha Kikao cha Mbalozi wa Afrika Ubelgiji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...