Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais leo  Ikulu Mjini Zanzibar. Picha ni juu Dkt Shein akipeana mikono na Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe Chabaka Kilumanga, akifuatiwa na Luteni Jenerali mstaafu Abdulrahman Shimbo (China) na Balozi Wilson Masilingi (Uholanzi)
 Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais leo,
Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamja na mabalozi Wapya wa Tanzania walioteuliwa hivi karibuni kwenda kufanya kazi Nchi za Nje,walipofika kumuaga Rais leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...